RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION


DARASA ELIMU YA UKIMWI KWA WANAHABARI LAENDELEA UKUMBI WA MADAKTARI MBEYA -LIVE


waratibu wa TACAIDS kutoka mikoa ya nyanda za juu kusini
Mratibu wa TACAIDS mkoa wa Ruvuma akieleza hali halisi ya UKIMWI mkoani kwake
Wawezeshaji wa TACAIDS Taifa wakifuatilia mrejesho wa UKIMWI kutoka kwa waratibu wa TACAIDS
Darasa linaendelea kwa wanahabari kunolewa
Baadhi ya wanahabari kutoka vyombo mbali mbali vya utangazaji mikoa ya Iringa,Mbeya,Rukwa na Ruvuma wakiwa darasani

Wawezeshaji wa kitaifa wakiwa katika harakati za semina
wanahabari wakiwa katika semina













Comments