RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

MWILI WA MAREHEMU STEVEN KANUMBA KABLA YA KUINGIZWA MOCHWARI
Hii ndiyo sura ya ndugu yetu Steven Kanumba, mara baada ya kufikishwa hospitalini

MARAFIKI NA NDUGU WA MAREHEMU STEVEN KANUMBA NYUMBANI KWAKE SINZA VATICAN
 Nyumbani kwa marehemu
 MC Nova

 Ndani ya geti-nyumbani kwa marehemu

 Steve Nyerere aliyevalia Polo shirt ya mistari mweusi na mweusi

 Mwigizaji a.k.a Chopa Mchopanga (katikati)
 Msanii wa Bongo Flava, Noora wa tatu kutoka kushoto

 Mvua akinyesha, alkini watu bado wako msibani
 Gari la Marehemu Steven Kanumba
 Mwigizaji wa Bongo Movie aliyekuwa muongozaji wa magari na kutoa tahadhari kwa wapenzi wa marehemu
 Dogo akipigwa mvua kali

 Mjasiliamali, Dotnata aliyenyoosha mkono wake wa kulia akipigwa mvua msibani
 Mwigizaji a.k.a Judy akihojiwa Live Channel Five
 Watu hawaamini kifo cha Kanumba (jembe)
 Mwigizaji Johari akilia katika mahojiano na EATV
 Mwigizaji maarufu sana, a.k.a Ray aliyevalia kofia akiwasiliana na jamaa baada ya mahojiano na waandishi wa habari
 Nyumbani kwa Steven Kanumba



Blogger na Graphic Designer, Rulea Sanga (mwenye njano) akitafuta matukio kwaajili yako wewe mdau wa blogu hii



Comments