MWILI WA MAREHEMU STEVEN KANUMBA KABLA YA KUINGIZWA MOCHWARI
Hii ndiyo sura ya ndugu yetu Steven Kanumba, mara baada ya kufikishwa hospitalini
MARAFIKI NA NDUGU WA MAREHEMU STEVEN KANUMBA NYUMBANI KWAKE SINZA VATICAN
Nyumbani kwa marehemu
MC Nova
Ndani ya geti-nyumbani kwa marehemu
Steve Nyerere aliyevalia Polo shirt ya mistari mweusi na mweusi
Mwigizaji a.k.a Chopa Mchopanga (katikati)
Msanii wa Bongo Flava, Noora wa tatu kutoka kushoto
Mvua akinyesha, alkini watu bado wako msibani
Gari la Marehemu Steven Kanumba
Mwigizaji wa Bongo Movie aliyekuwa muongozaji wa magari na kutoa tahadhari kwa wapenzi wa marehemu
Dogo akipigwa mvua kali
Mjasiliamali, Dotnata aliyenyoosha mkono wake wa kulia akipigwa mvua msibani
Mwigizaji a.k.a Judy akihojiwa Live Channel Five
Watu hawaamini kifo cha Kanumba (jembe)
Mwigizaji Johari akilia katika mahojiano na EATV
Mwigizaji maarufu sana, a.k.a Ray aliyevalia kofia akiwasiliana na jamaa baada ya mahojiano na waandishi wa habari
Nyumbani kwa Steven Kanumba
Blogger na Graphic Designer, Rulea Sanga (mwenye njano) akitafuta matukio kwaajili yako wewe mdau wa blogu hii

Comments