RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

SAFARI YA MWISHO YA MAREHEMU STEVEN KANUMBA(THE GREAT)

  Kila binadamu aliyepewa pumzi kutoka kwa mungu aliyeumba mbingu na ardhi basi nafsi yake itaonja umauti.Kanumba ametangulia na sisi tuko nyuma yako tulikupenda lakini mungu alikupenda zaidi,Hapa ni viwanja vya leaders club ndipo alipopewa heshima ya mwisho marehemu Steven Kanumba na wasanii wenzake wa Bongo Movie na viongozi wa nchi yetu ya Tanzania. Mungu ailaze roho ya marehemu maari pema peponi Amina

 Mashabiki wa marehemu Steven Kanumba wakiendelea kumiminika.

Muheshimiwa Sugu mbunge wa Mbeya mjini akiwasili kwenye viwanja vya leaders tayari kwa kumuaga marehemu Steven  

Ben Branco(aliyevaa t sheti nyeupe) miongoni waliocheza Filamu nyingi za marehemu  


 Camera man/Editor wa Kanumba The Great akiojiwa juu ya msiba aliyekuwa bosi wake.

 Maojiano yakiendelea.

Mheshimiwa Nchimbi akiwa na Riz One Kikwete(katikati)
na Iddi Azani Mbunge wa Kinondoni wakisubili mwili wa marehumu kuwasili 

 Mheshimiwa Nchimbi akiongea jambo fulani.

 Umati mkubwa ulioudhuria.

Hemedy Sulemani.

 Monalisa ni msanii aliyekuwa anamkubari marehemu.

 Rose Ndauka.


Mwili wa marehemu ukiwasili kwenye viwanja vya leaders.

Mama wa marehemu akilia kwa uchungu baada ya mwili wa marehemu ulipowasili.

 The Greatest akiwa makini kusikiliza kinachoendelea.

 Mashabiki wa marehemu wakiwa kwenye majozi makubwa.

The Greatest akiwa makini kufuatilia msiba.

 Baadhi ya wana kamati wakiwa kwenye majozi.

 Wasanii waliobeba mwili wa marehemu.

Mama wa marehemu wa kwanza kushoto akiwa na baadhi ndugu wa marehemu.

Comments