TANZANIA WORSHIP EXPERIENCE YAZIDI KUPAA JUU KWA KUTAFUTA WAABUDUAJI
Kama kawaida leo Katika katika Hotel Ya Atriums maeneo Ya Sinza Africasana limefanyika tena shindano la Kusaka Kipaji Cha Mwabudishaji katika Wilaya ya Ilala na Temeke na Washindi 18 wamepatikana 9 kutoka wilaya ya Ilala na 9 kutoka Temeke.
Blog ilikuwepo kuwasilisha kama Kawaida.
(KUMBUKA: Bango la limetengenezwa na Rulea Sanga +255 715 85 15 23 | www.rumaafrica.blogspot.com | rumatz2011@yahoo.com)
KUTOKELEA KABLA YA SHOW
Mbeba Maono ya Worship Experience na Main Sponsor a.k.a Bilionea akiwa na Judge wa Kiume
KIPINDI CHA KUJISAJILI
Mwenyekiti, Makaranga wa pili kulia akihakikisha majina kama yako sawa
Usajili unaendelea
Dada Mligo ni mlemavu wa macho akipelekwa kujisajili
Kupitia TWE watu walijuana majina
Washiriki Wakisalimiana
Watu wakiwa Wanahojiwa
Mchungaji Charles Mbogoma akisalimia na waabuduo wa baadae
MAOMBEZI YA KUFUNGUA MCHAKATO
Mch Mbogama akiwa katika maombi
BLOGGERZ
Blogger Akiwa anawasili eneo la tukio Ku run show nzima
Comments