RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

TANZANIA WORSHIP EXPERIENCE YAZIDI KUPAA JUU KWA KUTAFUTA WAABUDUAJI

Kama kawaida leo Katika katika Hotel Ya Atriums maeneo Ya Sinza Africasana limefanyika tena shindano la Kusaka Kipaji Cha Mwabudishaji katika Wilaya ya Ilala na Temeke na Washindi 18 wamepatikana 9 kutoka wilaya ya Ilala na 9 kutoka Temeke.

Blog ilikuwepo kuwasilisha kama Kawaida.

(KUMBUKA: Bango la limetengenezwa na Rulea Sanga +255 715 85 15 23 | www.rumaafrica.blogspot.com | rumatz2011@yahoo.com)

KUTOKELEA KABLA YA SHOW

Mbeba Maono ya Worship Experience na Main Sponsor a.k.a Bilionea akiwa na Judge wa Kiume

KIPINDI CHA KUJISAJILI
 Mwenyekiti, Makaranga wa pili kulia akihakikisha majina kama yako sawa
Usajili unaendelea

 Dada Mligo ni mlemavu wa macho akipelekwa kujisajili


Kupitia TWE watu walijuana majina

Washiriki Wakisalimiana

Watu wakiwa Wanahojiwa

Mchungaji  Charles Mbogoma akisalimia na waabuduo wa baadae


MAOMBEZI YA KUFUNGUA MCHAKATO


Mch Mbogama akiwa katika maombi
 
BLOGGERZ

Blogger Akiwa anawasili eneo la tukio Ku run show nzima
Uncle Jimmy kulia na Rulea Sanga
Sam Sasali (Papaa)
Blogger Rulea akiwa Kikazi zaidi

Full sun gogosiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Kambi Popote Mwana Blogger akiwa kazini

CAMERA MAN

Kamera Man akiwa Kikazi zaidi

MC

 Papaa Ze Blogger aki run show


KIPINDI CHA KUTAFUTA WAABUDUO

Ma Judge kushoto ni Angela Benard akiongea, Emmanuel Mabisa, Happiness na Lwiza
Emmanuel Mabisa akiongea kama Judge leo kwenye event.


Mshiriki Namba 1 akishiriki huyu alivuka round


Mshiriki namba 2 huyu hakuvuka


Happiness aki Jusge, Lwiza akisikiliza, Mabisa na Angela wakiandika

Washiriki Wakisikiliza Maelezo.
















Comments