RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

UNAWAJUA GLORIOUS CELEBRATION?

Glorious Celebration ni kundi la waimbaji wa nyimbo za injili Tanzania ambalo limeunganisha waimbaji mbalimbali kutoka katika makanisa mbalimbali nchini Tanzania. Kundi hili limefanikiwa sana katika kufanya kazi ya Mungu. Mungu amekuwa akiwatumia sana waimbaji hawa katika kazi yake kwa njia ya uimbaji na katika maombi. Mpaka sasa kundi hili limefanya kazi ya Mungu katika mikoa mbalimbali ikiwemo Morogoro Dar es Salaam, Arusha, Dodoma n.k.

Waimbaji hawa wako chini ya mlezi wao na mbeba maono wa kulianzisha kundi hili, Askofu Mwakang'ata ambaye anakanisa lake Chang'ombe  Dar es Salaam linaloitwa Full Gospel Victory Church. Mungu amemtumia Askofu huyu kwa kumpa uwezo wa kununua vifaa vyote vya muziki na kuwalea waimbaji hawa kimwili na kiroho.

Kipindi cha nyuma kundi hili lilikuwa linatoa huduma yao ya uimbaji katika hoteli ya The Atriums Siza Afrikasana, na baada ya muda likaamua kusimama kidogo kutokana na kazi kuwa nyingi za kufanya kazi ya Bwana, kama vile safari za mikoani kuongezeka, na maandalizi ya albamu yao mpya pamoja na marudio ya shooting ya albamu yao ya kwanza ya "Niguse"

Glorious Celebration imebahatika kufanya kazi ya Bwana ikishirikishwa na waimbaji wakubwa duniani kama Rebeca Malope. Rebeca Malope ni mwimbaji wa nyimbo za injili Afrika ya Kusini ambaye Pasaka ya mwaka huu alikuja Tanzania katika kumtumikia Mungu kwa njia ya uimbaji. Tamasha hilo liliandaliwa na Msama Promotion. Mbali na kushiriki katika tamasha hilo, pia Mungu aliamua kufanya huduma mbele ya raisi JK Kikwete katika tamasha jinngine la Pasaka la Msama Promotion.

Glorious Celebration kwa sasa iko katika maandalizi yao ya kurudia shooting ya albamu yao ya kwanza ya "Niguse" na katika maandalizi mengine ya albamu yao mpya ya pili.

Meneja Masoko wa Glorious Celebration, Rulea Sanga anawashukuru sana wapenzi wa nyimbo za GC kwa kuwa-support katika kununua CD na DVD zao ambazo ziko sokoni. Rulea aliendelea kuwaomba wadau wote wa GC kuwa na moyo huo huo katika kazi ya Mungu na kufanya hivyo hata kwa waimbaji wengine wa nyimbo za injili, kwani kwa kununua kazi zao, mnawatia moyo sana. Aliwashukuru sana watu wa media kwa kupiga nyimbo zao katika radio,



Davina (kushoto) na Nice wakisoma Neno



Mercy akiwa amejaa uwepo wa Mungu baada ya kupata Neno kutoka kwa Nice aliyekaa chini akisoma Biblia


Nice alivyokutwa na mpiga picha katika chimbo la kumtafuta Mungu

Nice akiwa na furaha

 
Davina naye......

Chakula ni muhimu kwa kila mtu, OG kushoto na Lispa wakiaandaa msosi
Mzee wa solo a.k.a Imma Solo akilitekenya gitaa
Mambo mazuri hayaji kwa kujilegeza, fanya kazi na Mungu atakuinua, Emmanuel Mabisa
Choka mbaya, Ima Solo





Nice




Jamani kituguuu machoni

Paul na Neno
Alex Kisonga akikuna nazi


GLORIOUS CELEBRATION WAKIELEKEA PRAISE POWER RADIO KWA MAHOJIANO


Mtangazaji na meneja wa Praise Power, George Mpela akiwahoji Glorious Celebration kuhusiana na tamasha lao pale The Atriums Hotel



GLORIOUS CELEBRATION WAJICHIMBIA KAMBINI TENA
Daniel Kibambe akitafuta cha akipambana na dafu, ili apooze koo


Emmanuel Malisa akipambana na bonge la muhogo..yote maisha



Kutoka kushoto ni Angel Benard Lyamba akisoma Neno, David mna Paul wakitafakari Neno

Ombeni Godwin katikati akiwa na wenzake

Duuh....Gospel akiwa amechoka...

Daniel Kibambe akiwa anafikiria jinsi gani ya kumfurahisha kwa njia ya
Usafi muhimu, Chaka

Kazi iansonga, Mungu atafanya tu...


Kama binadamu unaweza kuchoka, Nice Marando akionekana kuchoka



Angel Benard Lyamba....


Dada wa Yesu, Jessica Honore akiwasiliana na jamaa zake, huku akiwa ameshikilia kipande cha bagia
Kama binadamu unaweza kuwa na mawazo fulani, Emmanuel Malisa

GLORIOUS CELEBRATION WAKIFANYA HUDUMA KATIKA UKUMBI WA PRINCE SINZA MORI .

Vijana wa Glorious wakilikabili jukwa.
Mpiga Solo Emmanuel Gripar.Uyu kijana ukimuona nimkimya lakini akilikamata Gita utauwona uwongeaji wake.
Ombeni Gondwini akitomasa Kinanda taratibu.
Mpiga Drams Baraka Ngoi a.k.a Bwasheee''
Mpiga Bas Emmanuel Materu.
Hiki ndicho kikundi cha kwanza kuimba jukwaani.Wana julikana kama VOCAPELLA.
Mchekeshaji Chavara akikaribishwa na MC kutoa burudani.
Wakwanza kushoto,Mtangazaji wa Praise Power Beatrice akifatiwa na Mdau mzuli wa COF Listar.
Kushoto ni Precious Kiyangayanga akiwa na mwimbaji Jescar.
Erick Brighton mtangazaji wa Praise power a.k.a OP.
Glorious wakiwa jukwaani.

GLORIOUS CELEBRATION GOSPEL LIVE BAND NDANI YA ARUSHA
Hapa tulikuwa tunatoa huduma katika kongamano la vijana Arusha chini ya kanisa la Bethel Desenba 2011



















GLORIOUS CELEBRATION WAKIMTUMIKIA MUNGU NDANI YA THE ATRIUMS HOTEL SINZA SIKU YA IJUMAA 3 Feb 2012

Waimbaji wa Glorious Celebration wakimtumikia Mungu ndani ya The Atriums Hotel

Paul Tonex (aliyenyanyua mkono) akimwimbia Mungu

Mtalaamu wa Blogs, Website na Graphics Tanzania, Rulea Sanga akiingiza stories za Glorious Celebration katika hotel ya The Atriums Sinza Afrikasana.














 














Mtangazaji wa Wapo radio, Silas Mbise kulia akitokelezea na rafiki yake

GLORIOUS WAKIWA NDANI YA KIWANJA CHAO CHA KUMTUMIKIA BWANA-THE ATRIUMS HOTEL, SINZA AFRIKASANA

GLORIOUS CELEBRATION WAKIFANYA KAZI YA BWANA KATIKA KANISA LA CANAAN, UPANGA DAR




GLORIOUS CELEBRATION NDANI YA KANISA LA KKKT MBEZI-DAR

kutoka kulia ni Davina, Mercy, Angel, Ester, Chaka, Imma Malisa

KONGAMANO LA VIJANA KANISA LA KKKT KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA FILBERT BAY-KIBAHA


Mwimbaji wa Glorious Celebration, Dany Kibambe akimwimbia Mungu wetu
Waimbaji wa Glorious Celebration
Mkurugenzi wa RUMA, Rulea Sanaga na ni Meneja Masoko wa Glorious Celebration (aliyevaa penzi) akiwa mapumzikoni



Mwimbaji, mpiga kinanda na mpigaji wa drums, Danny Kibambee akiwa katika uwajibikaji

Imma Base kushoto na Ombeni Godwin OG kulia




Nyamaka Tweve akipiga picha


Walioamua kuokoka siku hiyo












Comments