Ninamshukuru Mungu kwa
kuniwezesha kufanya ukarabati ofisi mpya Afrika Sana Sinza Dar es Salaam.
Mungu kanitoa mbali na ninajua ananipeleka mahali fulani ambapo wewe na mimi hatujui. Ngoja tumwachie Mungu anayejua njia za kila mwanadamu. Ninaomba maombi yako, ili nifike pale napotaka kufika.
Mungu kanitoa mbali na ninajua ananipeleka mahali fulani ambapo wewe na mimi hatujui. Ngoja tumwachie Mungu anayejua njia za kila mwanadamu. Ninaomba maombi yako, ili nifike pale napotaka kufika.
Ila kama utakuwa ni adui yangu, utapata kipigo kutoka kwa Mungu mpaka utashangaa.
Nisikutishe ila huo ni ukweli.
Siku ya kufunguliwa kwa ofisi yangu nitawajuza wadau wangu na wale wenye mapenzi mema na Ruma Africa.
Mungu azidi kubariki kazi za wateja wangu ili tushirikiane katika kulijenga jina la YESU.
Tutakuwa tunawaletea maendeleo ya ofisi hii ambayo itajikita katika kufanya kazi ya Mungu, Graphics Design na utengenezaji wa websites na blogs
OFISI KABLA YA KUKARABATIWA
Nisikutishe ila huo ni ukweli.
Siku ya kufunguliwa kwa ofisi yangu nitawajuza wadau wangu na wale wenye mapenzi mema na Ruma Africa.
Mungu azidi kubariki kazi za wateja wangu ili tushirikiane katika kulijenga jina la YESU.
Tutakuwa tunawaletea maendeleo ya ofisi hii ambayo itajikita katika kufanya kazi ya Mungu, Graphics Design na utengenezaji wa websites na blogs
OFISI KABLA YA KUKARABATIWA
Sehemu ya nje
Sehemu ya ndani, muonekano wa zamani
OFISI BAADA YA KUKARABATIWA
OFISI BAADA YA KUKARABATIWA
Sehemu ya nje baada ya kukarabatiwa
Chumba cha Mkurugenzi
Comments