Wa
Wakati wa kujua kuwa kuna mashabiki wa Yesu umefika. Siku ya kesho tutajua ni nani anapenda yaliyo ya Mungu. Jangwani itakuwa haitoshi, tunaamini kuwa watu watakuwa kibao wakimtukuza Mungu.
Watanzania tutambue kuwa watu wametoka mbali kuja nchini kwetu kutangaza kazi za Mungu kwa njia mbalimbali. Ni aibu kuona wewe kutofika Jangwani. Shughuli nzima itaanza saa saba mchana mpaka saa 2 usiku.
Massanja Mkandamizaji akiwa na Lubben
Watu Wakiwa Wanasubiria Huduma ya Macho Baptist Church Magomeni
Watu wakipata ushauri Wa Huduma Ya Macho
Palau akifanya Huduma Kabla ya Kugawa Miwani....Hapa wakipata Tiba ya Macho Ya Rohoni
Ushauri Kwanza
Hii Ilikuwa siku ya Nane Nane katika Dinner Ya Watu Maalum Jijini Dar-es-Salaam
Hapa Andrew Palau alikuwa aki share habari za Rauu
Hapa Ilikuwa Clinic ya Michezo Kwa Watoto
Andrew Palau Kushoto, Katikati ni Baba Askofu Dr. Alex Malasusa na Kulia anaonekana ni Baba Askofu Dr. Tibananason
Dr. Malasusa akizungumza Jambo katika press Conference..
Press Conference
Wakijibu Maswali ndani ya Press Conference
Atatoa Ushuhuda Mwanawane.
Shusho akiimba Kwenye Dinner Ya Wanawake.
Dogo akipiga Soka
Wakisubiria Kuingia Kwenye Miwani.
Ukimaliza Tiba Ya Miwani Unapata na Maombi
Baptist Church
Full Miwani
Lubben akihudumu.
Watanzania tutambue kuwa watu wametoka mbali kuja nchini kwetu kutangaza kazi za Mungu kwa njia mbalimbali. Ni aibu kuona wewe kutofika Jangwani. Shughuli nzima itaanza saa saba mchana mpaka saa 2 usiku.
Massanja Mkandamizaji akiwa na Lubben
Watu Wakiwa Wanasubiria Huduma ya Macho Baptist Church Magomeni
Watu wakipata ushauri Wa Huduma Ya Macho
Palau akifanya Huduma Kabla ya Kugawa Miwani....Hapa wakipata Tiba ya Macho Ya Rohoni
Ushauri Kwanza
Hii Ilikuwa siku ya Nane Nane katika Dinner Ya Watu Maalum Jijini Dar-es-Salaam
Hapa Andrew Palau alikuwa aki share habari za Rauu
Hapa Ilikuwa Clinic ya Michezo Kwa Watoto
Andrew Palau Kushoto, Katikati ni Baba Askofu Dr. Alex Malasusa na Kulia anaonekana ni Baba Askofu Dr. Tibananason
Dr. Malasusa akizungumza Jambo katika press Conference..
Press Conference
Wakijibu Maswali ndani ya Press Conference
Atatoa Ushuhuda Mwanawane.
Shusho akiimba Kwenye Dinner Ya Wanawake.
Dogo akipiga Soka
Wakisubiria Kuingia Kwenye Miwani.
Ukimaliza Tiba Ya Miwani Unapata na Maombi
Baptist Church
Full Miwani
Lubben akihudumu.
Comments