RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

JK ATEMBELEA KANISA LILILOSHAMBULIWA NA WAISLAMU MBAGALA



Rais Jakaya Mrisho Kikwete akioneshwa na Katibu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dar es salaam Bw. M Mkosimonga  uharibifu mkubwa uliofanywa kwenye kanisa hilo huko  Mbagala jijini Dar es salaam wakati wa vurugu za Waislamu Ijumaa iliyopita kufuatia habari kuwa kuna mtoto amekojolea Msahafu.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akioneshwa na Askofu Msaidizi wa Kanisa la Kiinjili la Kirutheli Dayosisi ya Dar es salaam na Pwani Mkosimonga  uharibifu mkubwa uliofanywa kwenye kanisa hilo huko  Mbagala jijini Dar es salaam wakati wa vurugu za Waislamu Ijumaa iliyopita kufuatia habari kuwa kuna mtoto amekojolea Msahafu
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akioneshwa na Mchungaji Alkwin Mbawi uharibifu mkubwa uliofanywa kwenye magari yaliyokuwa yameegeshwa ndani ya kanisa la Pentekoste la Mbagala jijini Dar es salaam wakati wa vurugu za Waislamu Ijumaa iliyopita kufuatia habari kuwa kuna mtoto amekojolea Msahafu
 Mawe yametoboa vioo vingi
 Katika madhabahu, pameharibiwa
ANGALIA PICHA ZINGINE. BONYEZA "Read More" HAPO CHINI




 Mabenchi yamepinduliwa na kuvunjwa
 Mimbari imechomwa na kuharibiwa



 Ofisi ya Kanisa imechomwa moto

ANGALIA PICHA ZINGINE KWA KUBONYEZA "Read More" HAPO CHINI


 Wachungaji wa kanisa hili wakisubiria taarifa kutoka polisi
 Hawa wanafanya maombi na nimesikia wakiwaombea Waislamu Mungu awasamehe
 Vifaa vya uimbaji vimechomwa moto
 Washarika wakiwa kanisani kwao asubuhi hii
 Gari la mchungaji pia limeharibiwa kabisa

 Ofisi ya mchungaji na mwinjilisti zimeharibiwa kabisa
Kushoto ni msikiti walipotokea Waislamu kabla ya kuvamia kanisa kulia. Nyumba hizi za ibada ziko jirani zikitenganishwa na barabara tu

Comments