Skip to main content
SIKU MOJA YA KONGAMANO LA WA BABA
Wapendwa
poleni na hongereni kwa siku nzuri ambayo imepita tena sasa, hii hapa
tena semina ya wababa "Mens" ni muhimu sana tukikumbushana sisi kama
vijana wababa wa kesho, na wababa wote changamoto mbalimbali za maisha
ambazo zinatukabili sisi kama wa baba. pitia tena hili tangazo kwa
makini ni BURE hakuna kiingilio na Mungu akitusaidia vitafunwa na
vinywaji bure kwa wababa ili kuatia nguv wakati tukijadiliana mambo
mbalimbali
Comments