KIPINDI CHA SALAMU KUTOKA KWA NABII FLORA
Nawasalimu kwa jina la Yesu Kristo aliye hai…Nawasalimu wazee wa kanisa na watu waliofika leo. Ninawakaribisha siku ya leo ya tarehe 3.3.2013, huu ni mwaka wa mapambazuko, mwaka wa BWANA kutenda.
Ndugu wapendwa leo Katibu wetu hakufika mahali hapa, amesafiri kidogo, ameenda Monduli kuna emergency imetokea.
Ninaomba uinue mikono yako juu. Usiku huu wakati naongea na Mungu kuhusu ibada, niliona mafuta yakiwa yamepanda juu angani, Bwana akanambia fuata yale mafuta. Nilipoyachukua yale mafuta niliona upako ukitembea kwa watu, sikuona mtu aliyesimama, sikuona mtu aliyekaa kwenye kiti, niliona watu wakinitokea, niliona wagonjwa wakipata Baraka, niliona kama Jumatano watu wamendokewa pesa ambazo sijwahi kuona, niliona watu wakipokea Baraka.

Nabii Flora akiomba kabla ya kukanyaga madhabahu.
Mungu akanambia , wambie watu wangu, hakuna atakayekuja hapa akakosa kufanikiwa, hakuna atakayefika mahali hapa akakosa kuingia mbinguni. Ninataka nikwambie asubuhi ya leo, uko utukufu wa Mungu umetanda hapa, wako watu 470 wameandaliwa na wakiangalia akaunti zao, uta-check simu yako.
Bwana nilitee watu wako ambao umewaandaa asubuhi ya leo. Ninaona utukufu wako Baba umetandaa, maana ninahitaji watu 470. Natazama ninaona kuna watu wamefungua mioyo yao. Baba ninaomba uniletee watu hao sasa katika asubuhi ya leo, maana wanakwenda kufanikiwa, wanakwenda kufunguliwa. Bwana nahitaji watu hao sasa, nataka sasa utukufu kutembea kwa kila mmoja..nasema Tembeeeeeeeaaaaaaaaa!!!!b kwa jina la Yesu.
Nawasalimu kwa jina la Yesu Kristo aliye hai…Nawasalimu wazee wa kanisa na watu waliofika leo. Ninawakaribisha siku ya leo ya tarehe 3.3.2013, huu ni mwaka wa mapambazuko, mwaka wa BWANA kutenda.
Ndugu wapendwa leo Katibu wetu hakufika mahali hapa, amesafiri kidogo, ameenda Monduli kuna emergency imetokea.
Ninaomba uinue mikono yako juu. Usiku huu wakati naongea na Mungu kuhusu ibada, niliona mafuta yakiwa yamepanda juu angani, Bwana akanambia fuata yale mafuta. Nilipoyachukua yale mafuta niliona upako ukitembea kwa watu, sikuona mtu aliyesimama, sikuona mtu aliyekaa kwenye kiti, niliona watu wakinitokea, niliona wagonjwa wakipata Baraka, niliona kama Jumatano watu wamendokewa pesa ambazo sijwahi kuona, niliona watu wakipokea Baraka.
Nabii Flora akiomba kabla ya kukanyaga madhabahu.
Mungu akanambia , wambie watu wangu, hakuna atakayekuja hapa akakosa kufanikiwa, hakuna atakayefika mahali hapa akakosa kuingia mbinguni. Ninataka nikwambie asubuhi ya leo, uko utukufu wa Mungu umetanda hapa, wako watu 470 wameandaliwa na wakiangalia akaunti zao, uta-check simu yako.
Bwana nilitee watu wako ambao umewaandaa asubuhi ya leo. Ninaona utukufu wako Baba umetandaa, maana ninahitaji watu 470. Natazama ninaona kuna watu wamefungua mioyo yao. Baba ninaomba uniletee watu hao sasa katika asubuhi ya leo, maana wanakwenda kufanikiwa, wanakwenda kufunguliwa. Bwana nahitaji watu hao sasa, nataka sasa utukufu kutembea kwa kila mmoja..nasema Tembeeeeeeeaaaaaaaaa!!!!b kwa jina la Yesu.
Nabii Flora Peter
NInakuambia wewe shetani unapigwa kwa damu ya Yesu. Ninayo mamlaka ya kukuangamiza wewe shetani.uuuuuuunguuuuaaaaa!!! kwa jina la Yesu. Natamka neema kwa damu ya Yesu Kristo. Tembelea watu wako BABA, tembelea kanisa lako leo.
Ninakuomba utazame mbele mtu wa Mungu, na inua mikono yako juu isjhara ya kupokea kitu. Utaona mikono hiyo inadondokewa kitu. Kuna watu wanaenda kudondokewa Baraka. Bwana amesema watu wakiinua mikono yao, kuna kitu Bwana atafanya asubuhi ya leo. Ninaona Malaika wamekwisha kutua, wameshuka na wingu jeupe, wametanda mahali hapa.
Leta watu hao
sasa, watu wanachomoka pande zote, watu 470 baada ya sauti hii angalia simu
yako, angali Tigo Pesa yako, angalia akaunti yako…Ninapotazama ninaona kuna
watu wamekusudiwa siku ya leo, kutendewa na Bwana asubuhi ya leo. Sikia
Mtanzania, mwanamke, mwana wa Mungu, mwanaume, ninakutamkia Baraka. Ninaona
watu wanakuja kama mvua, wewe ni BABA tembelea watu wako, tembelea mkutano kwa
jina la Yesu Kristo.
Ninasema utukufu..utukufu..utukufu..Ninakamata pande zote za giza, ninasitiisha juu yangu, ninasema hazina nafasi. Yesu watembelee watu wako sasa, naachilia neema, ninaachilia utukufu siku ya leo,
Ninaona watu wanapokea Baraka, ninaona watu wanavutwa mbele . Yesu tembelea watu hawa (Nabii alianza kunena kwa lugha). Ninaona kuna watu wanavikwa Baraka. Ninasema ninaupanga wenye moto, ninaenda kukata, ninakata matatizo yako. Ninaupanga wenye moto, ninazo silaha za maangamizi, ninaenda kuangamiza kazi za shetani, ninazo silaha za kukutwanga ibilisi. Ninakupinga ibilisi, achia watu wafanikiwe. Umekamata maisha yao, umekamata kipato chao, watu wamepoteza misingi, watu wamepoteza riziki, biashara, watoto.
Ninasema utukufu..utukufu..utukufu..Ninakamata pande zote za giza, ninasitiisha juu yangu, ninasema hazina nafasi. Yesu watembelee watu wako sasa, naachilia neema, ninaachilia utukufu siku ya leo,
Ninaona watu wanapokea Baraka, ninaona watu wanavutwa mbele . Yesu tembelea watu hawa (Nabii alianza kunena kwa lugha). Ninaona kuna watu wanavikwa Baraka. Ninasema ninaupanga wenye moto, ninaenda kukata, ninakata matatizo yako. Ninaupanga wenye moto, ninazo silaha za maangamizi, ninaenda kuangamiza kazi za shetani, ninazo silaha za kukutwanga ibilisi. Ninakupinga ibilisi, achia watu wafanikiwe. Umekamata maisha yao, umekamata kipato chao, watu wamepoteza misingi, watu wamepoteza riziki, biashara, watoto.
NInakuambia wewe shetani unapigwa kwa damu ya Yesu. Ninayo mamlaka ya kukuangamiza wewe shetani.uuuuuuunguuuuaaaaa!!! kwa jina la Yesu. Natamka neema kwa damu ya Yesu Kristo. Tembelea watu wako BABA, tembelea kanisa lako leo.
Ninakuomba utazame mbele mtu wa Mungu, na inua mikono yako juu isjhara ya kupokea kitu. Utaona mikono hiyo inadondokewa kitu. Kuna watu wanaenda kudondokewa Baraka. Bwana amesema watu wakiinua mikono yao, kuna kitu Bwana atafanya asubuhi ya leo. Ninaona Malaika wamekwisha kutua, wameshuka na wingu jeupe, wametanda mahali hapa.
Wewe ambaye
unahitaji Bwana akuguse, usiondoke na mateso yako, lazima tutoke kwa kishindo.
Iko miezi 18 utukufu umetanda hapa, watu wanajiokotea Baraka. Lazima Bwana
atende siku ya leo.
Nabii Flora na Mchungaji Ansila
Ninazungumza
na watu wanasikiliza radioni, wanaosoma katika facebook, ninakwenda kutamka
Baraka. Kuna vijana wamesoma katika Facebook wamepata ajira na wengine wamepata
VISA. Ninahitaji Bwana wangu akutembelee, inua mikono yako vizuri kama unapokea
kitu na uinue juu sana.na sura yako tazama juu mbinguni.
Ninaamuru hiyo mikono iweze kutikisika. Ninaamuru upepo utoke pande zote nne na uingie upepo wa Baraka. Malaika wa utajiri, Baraka, ninakuamuru sasa utembee, uingie katika kanisa hili. Watebelee watu wako wameinua mikono ya kupokea. Wachungaji, wazee wa kanisani wamenyoosha mikono na wako tayari kupokea. Ninasema na kanisa lote, mikono tikisika na pokea. Sipendi kukuona umesimama kama mti, nataka mikono yako uliyoinua ikitikisika,.
Ninaamuru hiyo mikono iweze kutikisika. Ninaamuru upepo utoke pande zote nne na uingie upepo wa Baraka. Malaika wa utajiri, Baraka, ninakuamuru sasa utembee, uingie katika kanisa hili. Watebelee watu wako wameinua mikono ya kupokea. Wachungaji, wazee wa kanisani wamenyoosha mikono na wako tayari kupokea. Ninasema na kanisa lote, mikono tikisika na pokea. Sipendi kukuona umesimama kama mti, nataka mikono yako uliyoinua ikitikisika,.
Ninaona
vifungo vinakatika, ninaona vilivyoshikilia mafanikio yako iko kamba inakatika,
ninaona mbingu zinaanguka sasa, Yule adui yako anaaaaaanguuuushwaaaa!!
Ameanguka sasa, ngome, wachawi, majini, mambo ya mizimu, mipango ya shetani,
mapepo, vinavyozuia ajira, vinavyozuia watoto, vinavyozuia upako vimeanguka. Pokea Baba, mama Baraka
zako kutoka kwa Mungu. Ninaona Baraka zinadondoshwa, ninaona Baraka unapokea
sasa.
Pokea mtaji,
pokea msingi, pokea kazi, pokea safari za kwenda Ulaya, kwa damu ya Yesu
Kristo. Ninakuita Baba,mitume na Manabii, Yesu Kristo anashuka, ninaona nguvu
za ajabu, pokea mwanangu Baraka. Ninaona neema kwa Pastor Jury-pokea Baraka.
Mahitaji yako yote peleka kwa Mungu sasa.
Ninaona kitabu chako kimegfunguka, mambo yako yamefunguka sasa, pokea
kufanikiwa, pokea Baraka, pokea uponyaji kwako wewe mwenye UKIMWI, watoto na
nduh=gu zako walikufa kwa kutatanisha ninaona wanarudi, kwa damu ya Yesu
Kristo.
Ninaachilia neema sasa, ninasema pokea. Wewe ni Baba, wewe ni Mungu, wewe ni Jehova, umetuka Baba. Ninaona upako unatembea, Yesu umeshuka uwanjani.
Bwana anasema mikono yote tikisika, kwa wale wanaotaka kupata pesa, wale wanaotaka kupata ajira. Ninasema kanisa zima mikono cheza kwa jina la Yesu
Ninaachilia neema sasa, ninasema pokea. Wewe ni Baba, wewe ni Mungu, wewe ni Jehova, umetuka Baba. Ninaona upako unatembea, Yesu umeshuka uwanjani.
Bwana anasema mikono yote tikisika, kwa wale wanaotaka kupata pesa, wale wanaotaka kupata ajira. Ninasema kanisa zima mikono cheza kwa jina la Yesu
Nabii Flora Peter
UJUMBE WA
JUMAPILI KUTOKA KWA NABII FLORA
Tutasoma
Mathayo 14:22-36.
USIZUIE UPANGA WA BWANA KUFANYA KAZI YAKE UTALAANIWA.
USIZUIE UPANGA WA BWANA KUFANYA KAZI YAKE UTALAANIWA.
Maana ya
Mlisho ni mbele, Biblia inasema kulikuwa na upepo ukitokea mbele. Yamkini na
wewe umetenda matendo Mkuu ya Mungu na watu wakaona ni kivuli, iala nataka
kuwaambia hapa kwetu ni LIVE na sio chengachenga wala kivuli. Hapa inatembea
injili LIVE na sio kama mhele wenye michanga.
Wanafunziwa Yesu
walidhani ni kivuli walipomuona Yesu akitembea juu ya maji, yamkini na wewe
katika maisha yako wameona kama kivuli kinachotembea na kutenda miujiza,
ninakumabia hapa ni Yesu Kristo Mnazareth anayetembea hapa. Yamkini wewe
ulidhani ni kivuli kinachotembea hapa kanisani, nakuambia hiki ni kitu halisi.
Ninakuambia hapa anatembea mwanaume wa wanaume Yesu Kristo.Wanafunzi wa Yesu wakaogopa wakapiga yowe kwa hofu maana waliona na kujiuliza, hiki kivuli kinachotembea kimetoka wapi? Umekuwa ukiona watu kupandishwa cheo, wakipona UKIMWI, na umekuwa ukiona kama ni kivuli na sio Yesu anafanya na umekuwa na hofu, leo nakuondoa hofu, ninakutamkia kumuona Yesu halisi, utaenda kuona Yesu akisimamupande wako na kumuona Yesu halisi,
Yesu aliwaambia wanafunzi wake kuwa jipeni moyo wala mimi msiniogope. Yamkini umekuja hapa na umemuona Yesu LIVE lakini unakadhani ni kivuli. Ninasema hiyo hali lazima niichinje na kuinangamiza kwa damu ya Yesu Kristo.
Petro alipoona hayo hakuamini kuwa ni Yesu. Hata waumini wa sasa wanamashaka wanapoona vilema wanatembea, wanapoona Nabii Flora anafufua akina Mariamu Yule wa Morogoro, wanapoona watu wanafanikiwa bado wana mashaka. Napenda nikwambie leo, ondoa mashaka yako, ondoa wasiwasi. Yuko Yesu Mnzareth anayetenda haya. Mnaona ni mwanadamu wa kawaida, hata mkichukua darubini na kugalia mnaona ni kivuli.
Nabii Flora Peter

Hebu tembea juu ya wacahawi, hebu tembea juu ya mateso yako, hebu tembea juu ya shida uliyonayo, hebu tawala mateso yako, hebu tawala kesi uliyonayo.
Kuna mama
alikuja hapa amepotelewa na mwanawe, nikawambia, nenda Gongo la Mboto katika
soko la kati utakuta. Mwingi alikuja amepotelewa na ndugu yake nikamwambia
nenda Kibamaba utamkuta mwanao, sio kitu rahisi, kama unaweza tabiri. Karama
hii inatoka kwa Mungu wala sio kwa nguvu za wanadamu.
Na mimi Nabii Flora ninaita watu kutembea, nnaita njooo upokee upako na Baraka. Kuna leo watu wataitwa na Bwana njoo, wataketishwa na Bwana wetu Yesu Kristo, wataenda kufanikiwa mambo yao. Ninaona kuna watu 7 tayari, Bwana anawaita njoo. Kuna watu hapa mbele, haponyuma , huko kati na huko pembeni mwa kanisa, wanaanza kurushwa.
Ninakuambia njoo mama
yangu, tembea juu ya maji, yamkini Yesu anakuita sasa, maana Yesu alimwita
Petro njoo njoo njoo. Ninyo ambayo Yesu anaiita akisema njoo kwangu. Na mimi Nabii Flora ninaita watu kutembea, nnaita njooo upokee upako na Baraka. Kuna leo watu wataitwa na Bwana njoo, wataketishwa na Bwana wetu Yesu Kristo, wataenda kufanikiwa mambo yao. Ninaona kuna watu 7 tayari, Bwana anawaita njoo. Kuna watu hapa mbele, haponyuma , huko kati na huko pembeni mwa kanisa, wanaanza kurushwa.
Hebu tembea juu ya wacahawi, hebu tembea juu ya mateso yako, hebu tembea juu ya shida uliyonayo, hebu tawala mateso yako, hebu tawala kesi uliyonayo.
Kipindi ulikuwa na pesa ulikuwa unaheshimika, lakini sasa umebakiza
historia, watu wanakudharau. Ninakuambia leo utatembea juu ya maji kama Yesu.
Ninaona kuna watu zaidi ya 40 wamezama kiroho, ninakwenda kukutoa katika hali
ya kuzama. Leo ninataka kuona watu wakipiga yowe kama Petro wakisema Bwana
niokoe. Fungua mdomo wako sasa, piga kelele sema Bwana niokoe kwa maana ziko
nguvu zitashuka. Upo upepo wa mlisho utakufunika , ipo nguvu ya uponyaji
inaenda kushuka sasa, ninaona watu wanaenda kuinuliwa, kipato kilichozama
kinainuliwa, cheo chako kimezama kinainuliwa sasa, watu wamekalia barua yako,
biashara zako zimekaliwa, leo ninaenda kuzichoma hizo roho chafu
SOMO LINAENDELEA

SOMO LINAENDELEA
Kwaya Kuu iliyofika kanisani kwaajili ya kuimbia Mungu katika kanisa la nabii Flora
Baada ya Nabii kuhesabu mara tatu, watu wa Mungu waliangushwa na nguvu za Mungu chini na kulaliana
Mungu pekee ndiye anayefuta machozi ya wenye haki
Kutoka kushoto ni daniel Basila, Anna, Albert, Mama Lugano na Jury-wahudumu kanisani

Mama akimlilia Mungu wake
Matroni akiwahudumia watu katika kipindi cha maombezi yanayoendeshwa na nabii Flora
Taabu ni mbaya katika maisha ya mwanadamu
Imani ni kila kitu
Mungu ndiye njia ya uzima na kweli. Ukimkimbilia utaona baraka zake.
KIPINDI CHA SUKRANI
KAKA ALIKUWA OMBAOMBA NA HANA KITU SASA AJENGA NYUMBA MBILI
ZA KISASA NA ANATEGEMEA KUNUNUA GARI
Bwana Yesu..Kwa jina ninaitwa Daniel. Namshukuru Mungu wa Nabii Flora. Nilikuwa nauguliwa na mtoto wangu mwenye miaka 13. Miaka 10 alikuwa anaumwa, nilitembea kote hakuna nilichofanikiwa na bimaliza milioni 20, lakini baada ya kufika kwa Nabii Flora nimebadilika. Nilipokuja hapa kwa Nabii Flora na binti yangu sikuwa hivi nilikuwa nimechoka kabisa sina hata pesa ya kula. Mama Mzungu aliweza kunisaidia sana wakati hali yangu ni ngumu, alikuwa akinipa mchele na mboga. Pia namshukuru Bwana Albert ambaye alikuwa akinitia moyo kila wakati na bila kumsahau Mchungaji Ansilla.

Bwana Yesu..Kwa jina ninaitwa Daniel. Namshukuru Mungu wa Nabii Flora. Nilikuwa nauguliwa na mtoto wangu mwenye miaka 13. Miaka 10 alikuwa anaumwa, nilitembea kote hakuna nilichofanikiwa na bimaliza milioni 20, lakini baada ya kufika kwa Nabii Flora nimebadilika. Nilipokuja hapa kwa Nabii Flora na binti yangu sikuwa hivi nilikuwa nimechoka kabisa sina hata pesa ya kula. Mama Mzungu aliweza kunisaidia sana wakati hali yangu ni ngumu, alikuwa akinipa mchele na mboga. Pia namshukuru Bwana Albert ambaye alikuwa akinitia moyo kila wakati na bila kumsahau Mchungaji Ansilla.
Na sasa Mungu ameniinua ninajenga nyumba mbili za kisasa, na
nimeweka mafundi 20 wanaendelea na ujensi. Na pia nategemea kununua gari.
(Baada
ya shukrani zawadi ilikabidhiwa kwa Nabii Flora, na Nabii Flora alimuombea na
kumuachia Baraka kwake na kwatu wengine. Nabii Flora alimshukuru Mama Mzungu
kwa msaada wake.)
KIPINDI CHA SHUHUDA
DADA
ALIYESAHAU BIDHAA AZIPATA
Bwana Yesu asifiwe. Mimi nilikuwa nimesahau bidhaa ambazo sio zangu. Baada ya
hapo ikabidi niende stand, na sikuweza kuona. Nikaja hapa kanisani na kumwambia
Nabii kuwa mimi sijaibiwa, ila nimesahau bidhaa za watu. Nabii akanambia, wala
usijali Mungu anaweza, akasema nenda pale kituoni ulipokuwa na utaona bidhaa
zako. Nilipofika niliona bidhaa nilizosahau.
MAMA
ALIYEKUWA HAONI KWA MUDA TANGIA 2004 APATA UPONYAJI WA KUONA
Bwana asifiwe. Ninamshukuru Mungu kwa kumponya mama yangu alikuwa ameadhirika na
macho tangia mwaka 2004. Tulipopigiwa simu kuwa mama anaumwa, tukamwambia nabii
Flora, na nabii aliombea maji na
ilipofika siku 7, mama aliweza kutembea peke yake na gongo akaliacha.
DADA
ALIYEKOSA KAZI KWA MUDA MREFU ALETA CV KWA NABII FLORA NAYE APATA KAZI
Ninasimama kwa niaba ya dada yangu aliyekuwa akitafuta kazi kwa muda mrefu sana.
Alipokanyaga hapa na CV zake aliombewa na siku ya Ijumaa alienda kufanya
interview na kuweza kupita. Amepata mkataba wa maana siku ya Jumatatu.
MTOTO
ALIPOTEA KWA NJIA ZA AJABU APATIKANA
Nabii alipomuwekea mkono tu, ndipo sura iliporudim na kuanza kuchangamka
Comments