RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

JIONEE SEND OFF YA MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI TANZANIA JESSICA HONORE WA NIMEVUNJA UKIMWA

Jana ilikuwa ni balaa katika kanisa la WordAlive ambako mwimbaji huu hupata chakula cha Roho pamoja na mume wake mtarajiwa Boniphace Magupa wa Television ya Channel 10. Watu kibao walifika mahali pale kumuunga mkono dada huyu mrembo aliyeamua kuvunja ukimwi wa kuitwa Single. Kulikuwa na waimbaji kama Glorious Worship Team, Martha Mwaipaja, David Robert na wengine wengi.

Jessica Honore aliweza kutoa zawadi yake kwa  kuimba jukwani LIVE .

SASA TUPA JICHO LAKO HAPO CHINI.
KUNA BAADHI YA PICHA ZINAKUJA -STAY TUNE
 Kushoto ni Jessica Honore akiwa na matroni wake




Unafikiri MC Pilipili anafanya nini?

Cheaziiiiiii

Wazazi wa Jessica Honore full kicheko

Cheeeeeaaaziiiiiii!!!
Selebuka selebuka


 Leo!!!!

PICHA ZINGINE ZINAKUJIA MUDA SI MREFU



Comments