RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

OBAMA APIGA SIMU KUPONGEZA NDOA ZA JINSIA MOJA

Kundi la wanaharakati wanaounga mkono ndoa za jinsia moja wakisikiliza simuya rais Obama mara baada ya hukumu kutolewa inayoruhusu watu wa jinsia moja kuonana na kupata haki zote. Picha kwa hisani ya video ya shirika la utangazaji la Uingereza, BBC.

Akiwa safarini kuja barani Afrika kwa ziara ya kikazi, rais wa Marekani Barack Obama alipiga simu akiwa angani kwenye ndege yake ya Air Force One kwa mawakili na watetezi waliokuwa wakipigania haki ya ndoa za jinsia moja kuwapongeza, ambapo video hii iliyotolewa kwenye tovuti ya shirika la utangazaji la Uingereza, BBC, inaonyesha dhahiri mtizamo wa Obama kuhusiana na suala hilo.

katika maneno yake, Obama anasikika akiwapongeza kwa kufikia hatua hii nzuri ya kihistoria kwenye taifa la Marekani, na kisha kuwatakia sherehe njema watu hao.

Thanks GK

Video Click: http://gospelkitaa.blogspot.com/2013/06/obama-apiga-simu-kupongeza-ndoa-za.html

Comments