RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

TAG-TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD WAWEKA WAKFU SHULE YA UPANDAJI MAKANISA NJOMBE



Ikiwa Jopo la Maaskofu wa Kanisa la Tanzania Assemblies Of God wakiwa wamekutana Mkoani Wilaya ya Njombe kwa ajili ya Kikao Chao Cha Kawaida. Askofu Mkuu wa Kanisa hili Dr. Barnabas Mtokambali ameweka wakfu Shule Maalum Ya Upandaji Makanisa iliyojengwa katika wilaya hiyo imekabidhiwa rasmi kwa Askofu wa Jimbo hilo Mchungaji. Luhwago.

Ujenzi wa Shule za Upandaji wa Makanisa ni Maalum kwa ajili ua utekelezaji wa Mpango Mkakati wa Kanisa la TAG kuwaaandaa watumishi ndani ya Muda mfupi kwenda kuanzisha makanisa

Uzinduzi huo umefanyika leo wakati wa kuhitimisha Mkutano huo wa Maaskofu kutoka Nchi nzima ya Tanzania.

siku Ya Jumapili Askofu Dr. Mtokambali atakuwa kanisa la VCCT kwa ajili ya Kuweka Wakfu Kanisa hilo.








Picha na habari kwahisani ya Samsasali.blogspot.com

Comments