Hapa sina comment ila nimependa ushirikiano wa wanamuziki hawa kwa kushirikiana katika kazi ya Mungu. Huu ni mfano mzuri kuona mtu anaacha kazoi zake na kwenda kumuunga mkono mwenzake. Inaleta raha ndani ya mtima, hongera sana Mess Jacob Chengula kwa kuwatia moyo waimbaji wenzako. Mungu akubariki sana na endelea na moyo huo na Mungu atazidi kukuinua. Ubarikiwe sana
Mess akiwa na Rungu la Yesu saizi mlima wa BWANA kwenya tamasha la gospel hiphop
Wako katika Bwana
Rulea Sanga
Mess akiwa na Rungu la Yesu saizi mlima wa BWANA kwenya tamasha la gospel hiphop
Wako katika Bwana
Rulea Sanga
Comments