RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

WAIMBAJI KUTOKA CHAMA CHA MUZIKI WA INJILI TANZANIA WAKIJITAMBULISHA KWA WANAKIJIJI WA USHORA KIBAYA -SINGIDA

Baada ya waimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania kuwasili mkoani Singida wilaya ya Iramba kijiji cha Ushora Kibaya, siku ya pili waimbaji waliweza kufika katika eneo la kufanyia huduma ya umisheni katika viwwanja vya  kanisa la KKKT Ushora Kibaya. Waimabaji waliweza kujitambulisha majina yao na maeneo wanakotoka pamoja na nyimbo zao. Utambulisho huu ulikuwa faraja sana kwa wanakijiji hao kwani kwa muda mrefu wamekuwa wakiwasikia waimbaji hawa redio au katika TV, lakini siku hiyo wanakijiji waiweza kuwaona LIVE.

Mwenyeji wao Mh. Martha Mlata ambaye ni Mbunge wa Viti Maalum CCM Mkoa wa Singida na mlezi wa CHAMUITA aliwashukuru sana wanakijiji kwa kuitika mwaliko na pia aliwashuru waimbaji kwa ushirikiano wao na umoja wao,
Lengo la waimbaji hawa kufika Ushora Kibaya ilikuwa kutoa huduma ya UMISHENI, kuhubiri, kuliombea amani Taifa la Tanzania, kuwaombea wenye shida mbalimbalim. Tamasha hili lilihudhuria na watu wengi sana hata kama zilikuwa

 Kutoka kushoto ni Enock Jonas, Beatrice Mwaipaja, Tumaini Njole na Mh. Martha Mlata
  Kutoka kushoto ni Enock Jonas, Ibarahim Sanga, Beatrice Mwaipaja, Tumaini Njole na Mh. Martha Mlata
 Kutoka kulia ni Mch Bupe Kingu, Edson Mwasabwite, Ibrahim Sanga, Tumaini Njole

Kutoka kulia ni John Shabani, StellaJoel, Enock Jonas. Ann Annie, Pafii, Cosmos Chidumle, Jane Misso


 Kutoka kushoto ni Ibarahim Sanga, Beatrice Mwaipaja, Mh. Martha Mlata
 Kutoka kulia ni Beatrice Mwaipaja, Ibrahim Sanga, Edson Mwasabwite
 Kushoto ni Mch. Bupe Kingu


 Mch. Bupe Kingu (kushoto) na Edson Mwasabwite
 Ibrahim Sanga
Mh. MArtha Mlata (kushoto) na Jane Misso


 Cosmos Chidumle
  Cosmos Chidumle
  Cosmos Chidumle


ANGALIA MATUKIO ZAIDI KWA KUBONYEZA READ MORE HAPO CHINI KIDOGO






























































Comments