RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

TUJIKUMBUSHE TAMASHA LA IT'S ON LA ANGEL BENARD NDANI YA UBUNGO PLAZA



Hakuna asiyejua vurugu za Angel Benard aapokuwa katika madhabahu. Hakika Angel ni mwananmke aliamua kumtumikia Mungu hata kama kuna changamoto za hapa na pale lakini moyo wake ameuweka kwa Mungu. Kumbuka ya kwamba hapo zamani Angel Benard alishawahi kuimba nyimbo za kijamii lakini akaona huko hakuna faida na kuamua kurudi nyumbani kwa Bwana na kumtumikia.

Angel Benard na mume wake Godsave Sakafu waliovalia nguo nyeupe

Mungu amempa zawadi ya pekee sana ya utumishi kwa njia ya uimbaji na pia ni mwalimu mzuri sana wa Neno la Mungu. Mbali na hayo yote Mungu amezidi kumshangaza mwimbaji huyu na kumpa zawadi ya mume mwema ambaye kwa jina anaitwa Godsave na wamebahatika kuwa na huduma yao inayoenda kwa jina la DOXA.

Angel Benard


OG

Angel Benard




Dogo akienda sawa katika drums

Jessica BM

Imma Solo

Miriam Lukindo
 
Dj G maarufu kwenye one&two




Barmaba Boy

BONYEZA READ MORE HAPO CHINI KIDOGO KUSHOTO KUONA MATUKIO ZAIDI




Mr &Mrs Mauki wakimsikiliza Barnaba classics.
Mdau mkubwa katika tasnia ya Gospel Prosper Mwakitalima uzalendo ulimshinda akaanza kupiga kelele


KIPINDI CHA MGENI RASMI KUFANYA MAMBO YAKE




MTANGAZAJI WA WAPO REDIO SILAS MBISE AKIFANYA MAHOJIANO NA BARNABA












Godsave Sakafu,Barnaba Boy,Angel Benard.






  .

Comments