RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

BAADHI YA WAIMBAJI WA GOSPO WALIOTIKISA KATIKA UZINDUZI WA DVD YA MARY MGOGO UBUNGO PLAZA-DAR

Siku ya Jumapili ya tarehe 05/07/2015 waimbaji bila ya kujizuia waliweza kufika katika tamasha la mwimbaji mwenzao Mary Mgogo kumuunga mkono katika zoezi zima la uzinduzi wa vidoeo yake ya MUNGU WA AJABU. Waimbaji hawa waliweza kumtukuza Mungu na kumshukuru Mungu kwa kumfanikisha Mary Mgogo kutimiza ndoto yake ya muda mrefu aliyokuwa nayo ya kuzindua video yake. Kila mwimbaji aliweza kupata muda wa kuimba na kumuia huyu Yesu wetu kwa sifa. Ilikuwa ni Jumapili ya kipekee sana kwa wale waliofika siku hiyo.
Bahati Bukuku

Baadhi ya wafanyabiasha maarufu sana katika soko la Kariakoo hawakujizuia kufika katika tamasha hili. Mary Mgogo ni mwimbaji ambaye hakika Mungu anamtumia kwa njia ya pekee sana katika uimbaji wake. Nyimbo zake zina mguso wa ajabu sana ukisikiliza. Akiongea na Rumafrica alisema, " Ni mpango wa Mungu alioweka kwake kwaajili ya kazi yake"
Endelea kufuatilia blogu hii kujua mengi kuhusu tamasha hili la Mary Mgogo.






BONYEZA "READ MORE" HAPO CHINI KIDOGO KULIA KUONA MUENDELEZO WA MATUKIO HAYA



 Wanakamati
 Christina Mbilinyi


 Kutoka kulia ni Edson Mwasabwite na Tumaini Njole

 Edson Mwasabwite

 Edson Mwasabwite na shabiki wake
 Mess Chengula (kushoto) na Edson Mwasabwite
 Mess Chengula

 Mess Chengula
  Mess Chengula



Comments