RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

EXCLUSIVE: NYIMBO 3 KWA LUGHA YA KISWAHILI ZA PEACEKING DAVID KUTOKA NIGERIA HIZI HAPA

PEACEKING DAVID kutoka Nigeria  kupitia wimbo wake wa sita zilizomo katika albamu ya "NAENDA JUU"  amemshukuru sana Mungu wake kwa kumsaidia kuimba kwa lugha ya Kiswahili hata kama kwake ni lugha ngeni asiyoijua hata kuongea, lakini Mungu alimuongoza na ameweza kufanya kitu kizuri kwa utukufu wa Jehova. Mwimbaji huyu ambaye makazi yake ni jijini Dar es Salaam amesema yuko tayari kufanya kazi ya Bwana na wewe kwahiyo unaweza kuwasilina naye kwa simu +255 715 851 523 au +255 785 501 594. Facebook ni Peace David. Anachokiamini ni kwamba akishafanya kazi na wewe hapo kanisani kwako au kwenye mkutano wako au semina, hata kushirikishwa katika nyimbo zake, watu wataenda kupona na Mungu atajitwalia utukufu

PEACEKING DAVID-MUNGU WA THAMANI

PEACEKING DAVID - NAMWAMINI MUNGU

PEACE KING DAVID - YESU NAKUPENDA