PAPA AANGUKA GHAFLA AKIONGOZA MISA-POLAND on July 28, 2016 Get link Facebook Twitter Pinterest Email Other Apps POLAND: Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis, ameanguka ghafla wakati akiwa anaongoza misa, baada ya kujisikia vibaya. Inadaiwa Papa husumbuliwa na tatizo la maumivu ya miguu na mgongo