WAENDESHA BAJAJI WENYE ULEMAVU WAFUNGA BARABARA DAR
on
Get link
Facebook
Twitter
Pinterest
Email
Other Apps
Dar es Salaam: Waendesha Bajaji wenye ulemavu wanaofanya shughuli zao katika Jiji la Dar es Salaam wamelazimika kufunga barabara ya Mission na kuzuia magari kuingia katika ofisi za Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala.
Wamefanya hivyo kwa lengo la kushinikiza wapewe vituo maalum vya kupakia na kushusha Abiria katikati ya jiji.