Ndugu wa marehemu wakiaga mwili wa Mzee John Auckland Kambili kwenye Kanisa la Anglikana, Mwananyamara, Dar es Salaam.
Mtoto wa marehemu, John Kambili ambaye pia ni Mhariri wa Gazeti la Championi Jumamosi, Elius Kambili (katikati) akionekana mwenye hudhuni wakati wa ibaba ya kuaga mwili wa baba yake. kushoto ni Mwandishi wa Gazeti la Championi, Willbert Morland.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers, Eric Shigongo akiaga mwili wa marehemu Mzee Kambili.
Mhariri wa Gazeti la Championi Jumatau, Ezekiel Kitula ambaye pia ni mfanyakazi mwenzake na Elius Kambili akiaga mwili.Mhariri wa Gazeti la Championi Jumatano, Philipo Nkini (wa pili) akiaga mwili wa marehemu.
Mhariri Kiongozi wa Magazeti Pendwa ya Kampuni ya Global Publishers, Oscar Ndauka akiaga mwili wa marehemu.
Eric Shigongo akimfariji Elius Kambili.Meneja wa Kampuni ya Global Publishers, Abdallah Mrisho akimpa pole Elius Kambili.
Wafanyakazi wa Kampuni ya Global Publishers wakimpa pole mfanyakazi mwenzao, Elius Kambili aliyefiwa na baba yake mzazi.Ndugu, jamaa na marafiki wakiaga mwili wa marehemu.Ibada ya kuaga mwili wa marehemu ikiendelea kanisani hapo.
Elius Kambili akimsaidia mama yake ambaye ni mjane wa marehemu kuweka udongo kwenye kaburi la mumewe.
Watoto wa marehemu wakiweka shada kwenye kaburi la baba yao.Elius Kambili na mkewe wakiweka shada kwenye kaburi la baba yao.
Picha ya pamoja ya familia ya Kambili kwenye kaburi la mzee wao. Mzee John Kambili lizaliwa mwaka 1941 na kufariki juzi Desemba 13, 2016.
PICHA NA RICHARD BUKOS/GPL