RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

25.06.2017: MH. BISHOP DR. GERTRUDE RWAKATARE ALIVYOWASIMIKA WAINJILISTI UCHUNGAJI SIKU YA JUMAPILI KATIKA KANISA LA MLIMA WA MOTO MIKOCHENI "B"

Mh. Bishop Dr. Gertrude Rwakatare siku ya Jumapili 26.06.2017 katika ibada ya maombi ya KUONDOA NJAA inayowakumba watu wengi iliyofanyika katika kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni "B", aliweza kuwasimika tena wachungaji na baadhi ya viongozi wa vijana, kama wanavyoonekana katika picha.