RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

04.07.2017: MCH. DANIEL KALEGE ALIVYOHUBIRI SIKU YA JUMANNE KATIKA KANISA LA MLIMA WA MOTO MIKOCHENI "B"

”Mkono wako utawapata adui zako wote, mkono wako wa kuume utawapata wanaokuchukia. Utawafanya kama tanuru ya moto, wakati wa ghadhabu yake, na moto utawala. Zaburi 19:8.” Kwa miezi hii sita iliyobaki kumaliza mwaka, maadui zako watakwenda kusamabaratishwa kwa jina la Yesu, wale wanaokuchukia kutokana na mafanikio yako basi mkono wako wa kuume utaenda kuwashughulikia. Semina hii ya MID YEAR CROSS OVER 2017 kupitia upako wa Mch. Daniel Kalege kutoka Uganda, Mungu atakulinda kwa ulinzi mkubwa kama utamtumikia na kufuata sheria zake. Usikose katika hitimisho la semina hii Jumapili 09.07.2017 saa 9 3 asubuhi hadi saa 8 mchana., Bishop Dunstan Maboya na Mch. Daniel Kalege watakuwepo











 Mch. Elizabeth Lucas















































































Comments