RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

09.07.2017: WATU WALIVYOPELEKA MASHITAKA KWA MUNGU DHIDI YA MAADUI WANAOWATESA KATIKA IBADA YA JUMAPILI MLIMA WA MOTO MIKOCHENI "B"

Matukio katika picha ya waumini wa Mlima wa Moto Mikocheni "B" wakiombewa maombi yao waliyoyaandika katika karatsi. Maombi haya yaliongozwa na Bishop Dr. Gertrude Rwakatare akishirikina na Mch. Noah Lukumay na jopo la wachungaji wa kanisa hilo siku ya Jumapili 16.07.2017. Ibada hii ilikuwa ni maalum kwaajili ya maombi ya KUPELEKA MASHITAKA YETU KWA MUNGU dhidi ya maadui zetu.

Mzee wa kanisa-Mzee Mwakitalu



Mch. Noah Lukumay

































































































Comments