RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

ERICK BRIGHTON: HONGERA KWA KUMALIZA MWEZI WA SABA


MUNGU KWANZA
HONGERA KWA KUMALIZA MWEZI WA SABA AMINI NDOTO ZAKO ZITATIMIA KAMA UNA MOYO WA UVUMILIVU NA SHUKRANI MBELE ZA MUNGU NA MBELE ZA WANADAMU WALIO NA WANAO RĂ‘ENDELEA KUKUSAPOTI KWA MAENEO FULANI YA MAMBO AU JAMBO LAKO LOLOTE UNALOLIFANYA AU ULIYOYAFANYA HAPO SIKU ZA NYUMA,JIFUNZE KUITAMBU AU KUZITAMBUA SAPOTI ZAO HATA KAMA NI NDOGO KIASI GANI ONESHA/ONYESHA KUZIKUBALI NA KUZITHAMINI JUHUDI ZAO KWAAJILI YAKO.Ok Au soma hapa:;

1 PETRO 5:6-8
Kwa hiyo, jinyenyekezeni chini ya mkono wenye nguvu wa Mungu, ili awainue ninyi katika wakati unaofaa.7 huku mkitupa mahangaiko+yenu yote juu yake, kwa sababu yeye anawajali ninyi. 8 Tunzeni akili zenu, iweni wenye kulinda.Adui yenu, Ibilisi, anatembea huku na huku kama simba anayenguruma, akitafuta kummeza mtu.
#AMUA_TOFAUTI#

Comments