RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

JIPATIE KITABU CHA MADAM FLORA CHA SIRI ZA FLORA MBASHA




"SIRI ZA FLORA MBASHA" ni kitabu kinachoelezea maisha halisi aliyoishi @Flora_madam wakati akijulikana kama "Flora Mbasha"
Majibu yote ya maswali yako yamo ndani ya kitabu cha "SIRI ZA FLORA MBASHA"
Kitabu kimeandikwa na mwanasheria aliyebobea katika maswala ya kijamii Amani Mwaipaja @Mwapaja1

Na pia kinaelezea kwa kina Unyanyasaji kwa kijinsia na Matatizo yaliyomo kwenye ndoa nyingi na wahusika kushindwa kufanya maamuzi sahihi na hivyo kupelekea hata vifo vya kabla ya wakati na kuacha majonzi kwa familia inayomtegemea

Pata nakala yako sasa,

kitabu kinapatikana
Kwa Dar es Salaam
Sinza madukani @ebenezer_collection 0673094095

#KiboComplex Tegeta, TSN Super market na
PCAM OFFICE SUPPLY #KiboComplex 0687252435

Singida kinapatikana
@Joy_stationary,
076753775

Morogoro vitabu vinapatikana darajani jirani na Marhaba Pharmacy.
Simu 0712394330 Gody

*Kitabu* *kinapatikana* *kwa* *Tsh* 10000/=
Kwa mawasiliano zaidi piga 0758105014
Tutaendelea kuwatangazia vituo vingine vitakapokuwa vinapatikana vitabu

Comments