RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI MCH. TUMAINI NJOLE ATOA YA MOYONI

Shalom shalom Marafiki Zangu Nawatakia Siku Njema..Neno Langu La Leo.........Linasema Sio Laisi Kumtambua Rafiki Wa Kweli Wakati Wakula Na Kunywa...Subiria Upitie Changamoto.fran Hivi Kwenye Maisha Watakao Baki Na Wewe Hao Ndio Marafiki Zako...Ata Wakati wa Yesu Alipo Kuwa Anagawa Mikate Wengi Walimkimbilia Rakini Alipo kamatwa Wote Walio Sema Wanampenda Walijitenga Nae....Ivyo Katika Dunia hii Usiwaamini Watu Bali Uwapende Tu..kwasababu Mungu Ni Pendo...Kwasababu Wanao Tuhumiza Awatoki mbali nasi Wanao Tuzushia uongo Na Ubaya Awatoki Mbali..Wanao Chafua sifa Zetu Awatoki Mbali..Niwale Wale Tunao Cheka Nao Na Kula Nao Na kuongea Nao..... Leo Nimaombi Yangu Mungu Akupatie Watu sahii Kwenye Maisha Yako Ambao..watasimama Nawewe Kwa Kila Hali Uwe Na Tafakali Njema



Comments