Mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili Tanzania na nje ya Tanzania baada ya kutoka Afrika Kusini sasa yuko nchini Tanzania na anategemea kufanya tamasha kubwa la Kinabii kwa njia ya uimbaji jijini Mwanza mwezi Desemba 2017. Endelea kufuatilia post zetu kujua zaidi
Comments