RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

11.02.2018: KWAYA ZILIZOSHIRIKI IBADA YA BIG SUNDAY TO REMEMBER 2018

Baadhi ya kwaya zilizopata nafasi ya kumsifu Mungu katika ibada 9ya BIG SUNDAY TO REMEMBER iliyofanyika katika kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni "B" siku ya Jumapili 11.02.2018. Kwaya ya Mlima wa Moto Gezaulole na Kwaya ya Mlima wa Moto Bunju na Boko zilifanyika baraka sana kwa nyimbo zao zenye kufundisha, kuadibisha na kuelimisha.





Comments