RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

GOODLUCK GOZBERT AJAKIVINGINE JUKWAANI,MAELFU YA WATU YA MLILIA WAKATI AKIIMBA JUKWAANI









Mwimbaji Wa Nyimbo Za Injili Tanzania Goodluck Gozbert,Ambaye Kwasasa Anatamba Na Nyimbo Yake Mpyaaa Kabisa Ya Mwaka 2018,Leo Alikuwa Miungoni Wa Waimbaji Walio Perform Katika Tamasha Kubwa La Twen'zetu Kwa Yesu,Lililo Fanyika Jumamosi Ya Tarehe,23-06-2018,,,,,Katika Uwanja Wa Uhuru Jijini Dar es Salaam,Temeke,

Goodluck Gozbert Amefanya Vizuri Sana Baada Ya Kuimba Nyimbo Zake,Huku Akishangiliwa Na Maelfu Ya Watu,Waliohudhuria Tamasha Hilo,

Pia Leo Amekuja Kivingine Wakati Akiingia Stejini,Nijambo Ambalo Limekuwa Surprise Kwa Watu Wengi,Huku Akishangiliwa Na Maelfu Ya Watu,Kwasasa Goodluck Gozbert,Ndiye Mwimbaji Bora Zaidi,Wa Nyimbo Za Injili Kutokana Na Ubunifu Wake Mkubwa Wa Uandaaji Wa Nyimbo Zake,Ambazo Zimebeba Jumbe Za Kufundisha,Huku Zikiwa Hazifungamani Na Dini Yeyote Ile.

Comments