RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

Mchungaji Zakayo Nzogere Atoa Ushauri Kwa Vijana Ambao Bado Hawajaoa. Asema “Usiolewe Na….”


Mchungaji Zakayo Nzogere Wa Kanisa La MICC Mwanza Leo Ameandika Ushauri Wake Alionao Kwa Vijana Ambao Bado Hawajaoa.


Katika Mitandao Ya Kijamii Mchungaji Huyo Amewashauri Vijana Kutokuoa Au Kuolewa Kwa Kuangalia Vitu Kama Biashara, Kazi, Elimu Au Hata Huduma.


Comments