RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

Picha:Rev Lucy Natasha Kutoka Kenya Alivyopokelewa Airport Dar Es Salaam


Muhubiri wa Kimataifa Kutoka Nchini Kenya Rev.Lucy Natasha ambaye mara nyingi amekuwa akitajwa kuwa ndie muhubiri wa kike mrembo zaidi Afrika Mashariki ametua katika Uwanja wa Ndege Wa Kimataifa J.K Nyerere Airport ,Jijini Dar es Salaam Hapo jana na Kupokelewa na Mwenyeji Wake Apostle Peter Nyaga Wa Kanisa la R.G.C MIRACLE CENTER Tabata Changombe,Dar es Salaam.



Rev Lucy Natasha amekuja Tanzania kuhudumu katika Kongomano Kubwa la Maombezi Ni Siku nne Kuanzia Tarehe 4 mpaka Tarehe 8 July 2018,linalofanyika katika kanisa hilo la R.G.C MIRACLE CENTER Tabata Changombe,Dar es Salaam.

Furahia Upako Wa Picha hapa chini.



Credit JPazia





Comments